Tutaifunga TP Mazembe- Donald Ngoma

Straika wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma.

Straika wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma, amesema haifahamu sana TP Mazembe ya DRC Congo lakini watakapokutana nayo watahakikisha wanaifunga timu hiyo ili kusonga mbele zaidi katika mashindano hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS