Mpango wa Maendeleo kwa miaka mitano wazinduliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17-2020/21 kwenye Ukumbi wa Chuo cha Mipango mkoani Dodoma.

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amezindua mpango wa maendeleo wa miaka mitano na kusema kuwa serikali ya awamu ya tano imejipanga kufufua viwanda vilivyokufa pamoja na kulifufua shirika la ndege la Tanzania kwa kununua ndege mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS