Hatugombanii wachezaji,tunasajili vipaji - Kibaden Kocha wa JKT Ruvu, Abdallah Kibaden Kocha wa Timu ya JKT Ruvu Abdallah Kibeden amesema, anaamini kikosi cha JKT Ruvu kwa msimu ujao kitaleta ushindani kwani anaanza nacho na atahakikisha anakijenga ili kuwa imara. Read more about Hatugombanii wachezaji,tunasajili vipaji - Kibaden