Wasanii waliounda Bendi ya Mapacha Watatu Khalidi Chokoraa,Jose Mara na Chalz Baba.
Bendi ya Mapacha Watatu iliyokuwa ikiundwa na msanii Josse Mara pamoja na Khalidi Chokoraa imesambaratika baada ya msanii mmoja wa bendi hiyo kujitoa na kuelekea kurudi katika bendi yake ya awali Twanga Pepeta.