Rais Dkt. John Magufuli aahidi bilioni10 UDSM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amesema atasaidia kupatikanna kwa bilioni 10 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa mabweni ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es salaam ili kusaidia wanafunzi wengi wanaolazimika kupanga nje ya chuo.