Hata kuziba midomo ni demokrasia-Rais Magufuli

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli amewataka wanasiasa kuachana na harakati za siasa katika kipindi hiki mpaka baada ya miaka mitano ili kutoa nafasi ya kutekeleza ahadi alizozitoa kwa ajili ya Maendeleo na Watanzania na nchi kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS