Dance100% TCC Chang’ombe yavunja rekodi

Kundi la Best Boys lilipokuwa likionyesha ufundi wa kucheza TCC Chang'ombe.

Shindano la Dance100 leo limeingia katika usaili wake wa mwisho katika viwanja vya TCC Chang’ombe Jijini Dar es salaam ambapo jumla ya makundi 25 kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam yamejitokeza kushiriki shindano hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS