Dance100% TCC Chang’ombe yavunja rekodi
Shindano la Dance100 leo limeingia katika usaili wake wa mwisho katika viwanja vya TCC Chang’ombe Jijini Dar es salaam ambapo jumla ya makundi 25 kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam yamejitokeza kushiriki shindano hilo.

