Dance100 ni kielelezo cha sanaa Tanzania- BASATA Mkuu wa Matukio ya Sanaa kutoka BASATA Bwn. Kurwijira N Maregesi Baraza la sanaa Tanzania BASATA limesema shindano la Dance100% ni kielelezo kizuri katika ukuaji wa sanaa kwa kukuza urafiki na maelewano ya vijana ndani ya jamii Read more about Dance100 ni kielelezo cha sanaa Tanzania- BASATA