Kocha wa ngumi Uganda Dick Katende afariki

Uzuni imewakumba wanafamilia ya mchezo wa ngumi nchini Uganda kufuatia taarifa ya kifo cha ghafla cha kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya ngumi ya nchi hiyo, Dick Katende kilichotokea mapema leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS