Waandamanaji Harare watawanywa na Polisi Baadhi ya Wanafunzi waliojitokeza katika maandamano yalivunjwa na Polisi Jijini Harare Polisi nchini Zimbabawe wametumia gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kuyavunja maandamano ya kuipinga serikali katika mji mkuu, Harare. Read more about Waandamanaji Harare watawanywa na Polisi