Vikosi vya ulinzi na usalama vyaendesha mafunzo

Jenerali Davis Mwamunyange - Mkuu wa Majeshi (JWTZ)

Vikosi vya ulinzi na usalama vimefungua mafunzo ya pamoja ya utendaji kivita kwenye maeneo ya fukwe na visiwa vilivyopo ndani ya bahari kwa lengo la kukabiliana na maovu yatendekayo ndani ya bahari na kuimarisha ulinzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS