'Mama ntilie' waomba kuwezeshwa waachane na kuni

Baadhi ya akina mama ntilie wakipika kwa kutumia kuni

Wafanyabiashara wa vyakula vya kupika maarufu kama mama ntilie, wameliomba Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, kuwapatia majiko ya gesi ili waweze kuandaa vyakula na kufanya biashara zao katika mazingira nadhifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS