NEC kuboresha daftari mara mbili kabla ya 2020

Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC, Kalima Ramadhani

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Kalima Ramadhani amesema Tume ya Uchaguzi nchini itafanya zoezi la kufanya marekebisho ya daftari la wapigakura kwa awamu mbili kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS