Viongozi wa mikoa marufuku kwenye kilele mwenge

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Rais Dkt. John Magufuli ameagiza viongozi wote wa Serikali walioalikwa kuhudhuria sherehe za Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa kutohudhuria sherehe hizo na wale ambao walishalipwa fedha ya posho na safari kwa ajili hiyo wazirejeshe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS