Nauli za daladala kuanza kulipwa kielektroniki Daladala zinazofanya safari zake jijini Mwanza Serikali imesema kuwa kuanzia mwakani nauli zote za mabasi yanayotoa huduma za usafirishaji abiria mijini maarufu kama daladala zitakuwa zinalipwa na abiria kupewa risiti za mashine za kielektroniki Read more about Nauli za daladala kuanza kulipwa kielektroniki