Tizeba awashukia wadau wa uvuvi Mwanza Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Tizeba. Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Tizeba, amelitaka Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza kuongeza juhudi za mapambano kwa wavuvi haramu wanaotumia zana zilizopigwa marufuku na serikali. Read more about Tizeba awashukia wadau wa uvuvi Mwanza