Manyanya awatolea uvivu wanafunzi wanaojiuza
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Mhandisi Stella Manyanya amewatolea uvivu wanafunzi wa elimu ya juu wanaodaiwa kujiuza kwa madai ya kukosa mkopo na kusema kuwa, wanafunzi hao wana tatizo la ziada na siyo mkopo pekee.
