Majaliwa amaliza mgogoro sugu wa ardhi, Monduli
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 17 kati ya vijiji viwili vya Ortukai na Esilalei na Taasisi ya Tanzania Land Conservation Trust (TLCT) wilayani Monduli, mkoani Arusha

