Tutakula sahani moja na waamuzi - Bodi ya Ligi

Boniface Wambura - Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi

Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imesema miongoni mwa mambo itakayoyaangalia kwa umakini mkubwa katika mzunguko wa pili wa ligi ni waamuzi, ili kuhakikisha wanatenda haki na kuondoa malalamiko yaliyoshamiri katika mzunguko wa kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS