JPM anusuru ajira za wachimbaji wadogo Shinyanga
Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameagiza Wizara ya Nishati na Madini kusitisha mara moja zoezi la kuwaondoa wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Nyaligongo kilichopo katika Kata ya Mwakitolyo Mkoani Shinyanga.
