JPM anusuru ajira za wachimbaji wadogo Shinyanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwakaribisha Naibu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo aliyeambatana na Katibu Mkuu wa TAMISEMI Mhandisi Mussa Iyombe kabla ya kuanza kwa kikao chao cha pamoja na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameagiza Wizara ya Nishati na Madini kusitisha mara moja zoezi la kuwaondoa wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Nyaligongo kilichopo katika Kata ya Mwakitolyo Mkoani Shinyanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS