Wasanii waliofanikiwa kuwania Tuzo za EATV

Dominician Mkama - Mkuu wa Kanda Dar es Salaam kutoka Vodacom Tanzania, akitaja majina ya wasanii wanaowania tuzo hizo, ndani ya studio za EA Radio

Zikiwa zimebaki siku 33 kutolewa kwa Tuzo za EATV ambazo zinahusisha wasanii wa muziki pamoja na wasanii wa filamu nchini, East Africa Television leo imetangaza wasanii ambao wamefanikiwa kuingia katika baadhi ya vipengele vya tuzo hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS