Mwamuzi Jonasia Rukyaa azawadiwa gari
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi leo amemkabidhi Mwamuzi kutoka Tanzania Jonasia Rukyaa funguo ya gari alilozawadiwa kwa kuchezesha vizuri katika fainali za wanawake barani Afrika, zilizofanyika nchini Cameroon hivi karibuni.

