Kairuki naye atangaza safari yake ya Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki akizungumza na watumishi wa ofisi yake juu ya safari ya kuhamia Dodoma iliyoanza rasmi leo kwa kuhamisha vifaa vya ofis

Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi ya Umma na Utawala bora imehamia Makao Makuu ya nchi Jijini Dodoma ikiwa ni siku chache baada ya agizo lililotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu la kuzikumbushia wizara zote kuhamia mkoani humo ifikapo Februari 28.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS