Samatta aendeleza makali, aibeba KRC Genk.

Mbwana Ally Samatta.

Mshambuliaji wa kimataifa Mbwana Ally Samatta anayeichezea timu ya KRC Genk ya Ubelgiji, jana aliifungia timu yake bao la pekee na la ushidi wakati klabu hiyo ikicheza dhidi ya KAS Eupen katika Ligi Kuu ya Ubelgiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS