Yanga yaacha saba safari ya Majimaji

Donald Ngoma

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga SC wanaondoka leo kwenda Songea tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu siku ya Jumanne katika dimba la Majimaji Songea huku ikiacha wachezaji 7 kwa sababu tofauti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS