Manara ampigia salute Cheche wa Azam

Haji Manara (Juu), Cheche (Chini)

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara amemkubali na kumnyooshea mikono kocha msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche kwa kukibadilisha kikosi chake na kukifanya kiwe cha ushindani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS