Manara ampigia salute Cheche wa Azam Haji Manara (Juu), Cheche (Chini) Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara amemkubali na kumnyooshea mikono kocha msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche kwa kukibadilisha kikosi chake na kukifanya kiwe cha ushindani. Read more about Manara ampigia salute Cheche wa Azam