Sihusiki na madawa ya kulevya - Ditto
Msanii Lameck Ditto ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Moyo sikuma damu' amefunguka na kusema yeye hausiki na biashara ya dawa za kulevya wala matumizi ya dawa za kulevya na kusema kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaama amekosea kutaja jina.