Watuhumiwa dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Baadhi ya watuhumiwa wakisubiri kusomewa mashitaka

Takriban watuhumiwa 13 wa dawa za kulevya ambao ni miongoni mwa watu waliotajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu asubuhi hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS