Nahodha Philipp Lahm atangaza kustaafu

Philipp Lahm

Nahodha wa Bayern Munich Philipp Lahm ambaye pia ndiye aliyekuwa nahodha wa timu ya taifa ya Ujerumani walipotwaa Kombe la Dunia mwaka 2014, ametangaza kwamba atastaafu soka mwishoni mwa msimu huu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS