Mahakama yazuia Mbowe kukamatwa
Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kufuatia kutajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda katika sakata la dawa za kulevya imeunguruma leo ambapo mahakama kuu imeweka zuio la muda kwa Mbowe kukamatwa.