VIDEO: Nasumbuliwa sana na wanawake usiku - Sirro

Kamishna Simon Sirro

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna Simon Sirro, amesema miongoni mwa changamoto anazokutana nazo ni pamoja kupigiwa simu za vishawishi na wanawake hasa usiku wa manane, wakidhani anapata pesa nyingi kwenye kazi yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS