Kikwete aitamani nafasi ya KInana CCM
Mbunge wa Chalinze mkoani Pwani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwan Kikwete, amesema anaitamani nafasi aliyonayo Abdulrahaman Kinana ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Katibu Mkuu wa chama hicho Taifa.