Askari polisi 7 wauawa mkoani Pwani IGP Ernest Mangu Taarifa za awali zinadai kuwa takriban askari 7 wa jeshi la polisi wameuawa wilayani Kibiti Mkoani Pwani baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana Read more about Askari polisi 7 wauawa mkoani Pwani