Magufuli amtumbua Katibu Mkuu wa Wizara Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi na kumsimamisha kazi Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge) Bw. Uledi Abbas Mussa. Read more about Magufuli amtumbua Katibu Mkuu wa Wizara