Iran haina dhamira ya silaha za Nyuklia

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian, ametangaza mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwamba nchi yake haina dhamira ya kuunda silaha za nyuklia huku zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuanzishwa tena kwa vikwazo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS