Serikali imepiga marufuku utoaji wa fedha

Serikali imepiga marufuku utoaji wa fedha kwa wakandarasi ambao hawajaonyesha tafiti za uhalisia wa eneo wanalokwenda kufanyia kazi ili kuepuka gharama na hasara na ziada ya fedha zinazoweza kujitokeza wakati wa utekelezaji wa mradi husika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS