Serikali imepiga marufuku utoaji wa fedha
Serikali imepiga marufuku utoaji wa fedha kwa wakandarasi ambao hawajaonyesha tafiti za uhalisia wa eneo wanalokwenda kufanyia kazi ili kuepuka gharama na hasara na ziada ya fedha zinazoweza kujitokeza wakati wa utekelezaji wa mradi husika.