Takukuru kuchunguza mila za kichaga

Tasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imeanza kuchunguza utaratibu wa familia za kabila la Kichaga kutumia majani maarufu kama ‘sale’ kufunika au kumaliza kienyeji kesi zinazohusu ukatili wa kijinsia na mimba za wanafunzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS