Sisi hatuna vurugu, Haki itendeke - Elvis
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Siha (CHADEMA) Elvis Mossy amefungukia matamko yanayotolewa ya kuhusu kupiga kura na kwenda nyumbani ambapo amesema kwamba matamko hayo yanakinzana kanuni ingawa ametaka haki itendeke kwani wananchi wake siyo watu wa vurugu

