CUF yawang'ang'ania Lipumba, Seif
Chama cha Wananchi CUF, kimeitaka Serikali kuunga mkono hoja ya Mbunge wa Jimbo la Chonga Mohamed Juma Khatib, kufanya ukaguzi lazimishi wa fedha za Umma ikiwa ni pamoja na Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi, Maalim Seif, Ibrahimu Lipumba wahojiwe walikopeleka Bilioni 2 za Chama.