Juma Nature atangaza bifu nzito

Msanii mkongwe na miongoni mwa waasisi wa muziki wa BongoFleva, Juma Nature amefunguka na kuwaonya wasanii wa sasa kuacha tabia ya kuigana na kubweteka katika kufanya kazi zao kwa kuwa kitendo hicho kinapelekea kuua muziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS