Ripoti yawagusa Ngoma na wenzake wanne

Klabu ya soka ya Azam FC kupitia kwa daktari wake Mwanandi Mwankemwa, imetoa ripoti ya wachezaji wake watano ambao ni majeruhi, juu ya hali zao zinavyoendelea na kueleza kuwa mshambuliaji mpya wa timu hiyo Donald Ngoma atarejea dimbani  Agosti 11.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS