CHADEMA kukata rufaa

Wakili wa utetezi katika kesi Na. 112/2018 inayowakabili Viongozi Wakuu wa CHADEMA wakiongozwa na M/kiti Mhe Freeman Mbowetz na Wabunge kadhaa wa chama hicho, Peter Kibatala ameieleza mahakama kusudio la kukata rufaa kutokana na kutoridhishwa na uamuzi wa mahakama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS