Ratiba kuagwa wanafunzi wa UDSM kesho

Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), imetoa taarifa ya kukatisha ratiba ya masomo kwa muda wa masaa matatu kesho Juni 14, 2018 ili kutenga muda wa kuaga miili ya waliokuwa wanafunzi na watumishi wa chuo hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS