Joshua na Wilder mbioni kuzichapa kuwania rekodi

Uongozi wa bingwa wa ngumi duniani uzani wa juu anayeshikilia mkanda wa WBC, Mmarekani Deontay Wilder, hatimaye amekubali kukaa meza moja na uongozi wa bingwa wa dunia anayeshikilia mikanda ya WBA, IBF na WBO Muingereza Antony Joshua tayari kwa kusaini pambano lao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS