"Tunamshukuru Lembeli" - CHADEMA

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia Afisa Habari wake Bwana Tumaini Makene kimetoa shukurani na kumtakia kila la heri kwa aliyekuwa mwanachama wao James Lembeli baada ya kutangaza kujiunga tena na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS