Ufaransa watawala Kombe la Dunia

Wachezaji wa Ufaransa wakifurahia baada ya mechi kumalizika.

Baada ya usiku huu kushinda mechi yao ya nusu fainali dhidi ya Ubelgiji kwa bao 1-0, Ufaransa sasa imetinga fainali ya kombe la dunia kwa mara ya tatu ndani ya miaka 20 na kuwa taifa lililofika fainali mara nyingi zaidi katika miaka hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS