Serikali yawapa angalizo wananchi
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wananchi kutoa taarifa kwa hospitali, zahanati au kituo cha afya chochote kitakachokuwa kinatoa majibu ya kipimo cha typhoid ndani ya nusu saa kwa kuwa siyo utaratibu za kitabibu.