Watumishi wanyimwa kukaa maofisini Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewaagiza viongozi wa mamlaka ya mabonde hapa nchini kuacha kukaa maofisini na badala yake waende kwa wananchi kutoa elimu juu ya kutunza vyanzo vya maji. Read more about Watumishi wanyimwa kukaa maofisini