Onyo la mashabiki lamfurahisha kocha Mashabiki wa Coastal Union. Kocha mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda amesema anasikitika kwa kitendo cha mashabiki wa timu hiyo kuingia uwanjani kushangilia matokeo baada ya mchezo lakini anafurahi kwasababu hawakuja kufanya vurugu. Read more about Onyo la mashabiki lamfurahisha kocha