CHADEMA yamkana Mbunge wake

Pichani, aliyekuwa Mbunge wa Ukerewe (CHADEMA), Joseph Mkundi na Mkurugenzi wa mawasiliano CHADEMA John Mrema.

Baada ya Mbunge wa Jimbo la Ukerewe mkoani Mwanza kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joseph Michael Mkundi kutangaza  kujiuzulu na kuomba kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) usiku wa jana Oktoba 10, CHADEMA wamekanusha tuhuma alizozitoa dhidi ya chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS